Ujasiriamali,Biashara,Mahusiano,Siasa,Michezo, Burudani na Matangazo.
Alhamisi, 4 Agosti 2016
UPENDO NI TIBA KWA NAFSI ILIYOJERUHIWA.
Kila nafsi yenye uhai inahitaji upendo.Upendo hufurahisha,hupunguza machungu,husahaulisha maumivu.Upendo huumba upya kutimilika kwa Malengo na Amani kwa asiyenayo.
TUPENDANE.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni