Leo tunakusogea ngoma ya Asili kutoka kwa Kabila La Wagogo lenye maskani yake jijini Dodoma.Kwa kawaida ngoma hii huchezwa wakati kiangazi baada ya mavuno.Yaani nyakati za mapumziko baada ya kipindi kirefu cha kilimo kumalizika.Lakini pia ngoma hii huchezwa wakati wa sherehe mbalimbali za kawaida,Kiserikali na kimila.
Karibu ufurahie.
Ngoma hii huitwa "Mheme".
Na hiki ni kikundi cha ngoma Asili kiitwacho Nyota kutoka kijijini Majeleko,wilaya ya Chamwino jijini Dodoma.
Mimi ni Joachim Mkwawa.
Karibu ufurahie.
Na hiki ni kikundi cha ngoma Asili kiitwacho Nyota kutoka kijijini Majeleko,wilaya ya Chamwino jijini Dodoma.
Mimi ni Joachim Mkwawa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni