Jumapili, 14 Agosti 2016

MAGUFULI:WATANZANIA FYATUENI TU WATOTO.

Rais Magufuli amesema Watanzania wazaliane tu vile wanavyotaka wala wasihofu,kwani ardhi na Chakula vipo vya kutosha.Magufuli aliyasema hayo jana jijini Dar es Salama ktk mkutano na wananchi wa jijini humo.


Hakuna maoni: