Jumatatu, 29 Agosti 2016

CLUB BILCANAS KUKINUKISHA JUMATANO HII.

Shamsa Ford Daily kwa kushirikiana na Club Bilcanas ya jijini Dar es Salaam jumatano hii Agosti 31 wanakinukisha kwa kukuletea Usiku wa MTEKENYO MTEKENYO(KIBAO KATA)kuntu.Serebuko hilo la aina take litahappen palepale chimbo la wajanja club Bilcanas kwa mtonyo wa buku ten(10,000/=)tu,huku ikishuhudiwa na singeli za hatari kutoka kwa mkali wa muziki huo hapa bongo namzungumzia MSAGA SUMU Mzee wa Amsha popo na wengineo kibao.
Hakikisha hukosi bab.

Hakuna maoni: