Jumamosi, 27 Agosti 2016

KUPIGWA TUNAJITAKIA.

Hii huja hasa pale ambapo mtu unajifanyia tu jambo ktk eneo usilostahili kulifanya.Na hii huletwa eidha kwa kutokujuwa au dharau tu ama kupuuzia.
Hebu jionee mwenyewe,MTU kama huyu akikutwa na dhahama kuna sababu ya kulaumiwa?
AAAH,TUPIGWE TU MAANA TUNAJITAKIA.

Hakuna maoni: