Ukimlea mototo kiyai yai,lazima atakuwa yai kweli.Maisha yanakwenda yanabadilika kwa kasi sana,lazima mtoto alelewe kwa mfumo na mikakati maalumu itakayomuwezesha kuzimudu changamoto zake.
Sasa malezi kama haya unamuandaa mtoto kuja kuwa nani hapo baadaye?.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni