Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA ktk duru za kisiasa hapa nchini jana vimeanzisha umoja mwingine uitwao UKUTA.
UKUTA ni Umoja wa kupambana na Udikteta Tanzania.Umoja huo wenye lengo mahsusi la kuupinga ukandamizaji na demokrasia nchini umeanzishwa siku ya jana.Inadaiwa kuwa umoja huo ndiyo chachu ya ukombozi wa demokrasia ya kweli hapa nchini.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni