Hatimaye mafuta ya KY JELLY yanayosadikiwa kutumiwa na Wanaume wanaojuhusisha na mapenzi ya jinsia moja(Mashoga)kama virainishi yakamatwa mtaa wa Kambarage mkoani Shinyanga.Virainishi hvy ambavyo hutumiwa kupaka njia ya haja kubwa wakati wa tendo vimekamatwa kupitia msako mkali ulioendeshwa na wizara ya afya wakishirikiana na jeshi la polisi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni