Ijumaa, 15 Julai 2016

Summaye awania Uwenyekiti Chadema

Waziri mstaafu wa awamu ya tatu Mh.Fredrick T Summaye amechukuwa fomu ya kugombea nafasi ya Uenyekiti mkoa wa Pwani.Hii hapa taarifa rasmi.

Hakuna maoni: