Alhamisi, 28 Julai 2016

BURIANI JOSEPH SENGA.

Mwandishi wa Habari ambaye ndiye aliyepiga picha ktk kifo cha aliyekuwa Mwandishi wa Habari Daud Mwangosi mkoani Iringa 02/09/2012 ndugu Joseph Senga afariki Dunia.
Joseph amefariki Dunia jana SAA moja jioni nchini India alikokuwa akitibiwa.

Hakuna maoni: