Ujasiriamali,Biashara,Mahusiano,Siasa,Michezo, Burudani na Matangazo.
Alhamisi, 28 Julai 2016
BURIANI JOSEPH SENGA.
Mwandishi wa Habari ambaye ndiye aliyepiga picha ktk kifo cha aliyekuwa Mwandishi wa Habari Daud Mwangosi mkoani Iringa 02/09/2012 ndugu Joseph Senga afariki Dunia.
Joseph amefariki Dunia jana SAA moja jioni nchini India alikokuwa akitibiwa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni