Hatimaye mashauli yaliyokuwa yamefunguliwa mahakamani na waluokuwa wagombea Ubunge kupinga ushindi wa majimbo 2 mkoani Morogoro uliokwenda CHADEMA.Walalamikaji hao ambao waligombea kupitia CCM ktk majimbo ya Mlimba na Kilombero walifungua kesi hizo kupinga ushindi ambao Chadema ilishinda ktk majimbo hayo mawili ktk uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015.Mashauli yote ya kesi hizo yametupiliwa mbali na kwamba CHADEMA ilishinda kihalali.Huku Mh.Lijuwalikali aliyeshinda Kilombero na yule mwenzie wa Mlimba wakaahidi kwenda sasa kuwatumikia wananchi wao baada ya kuisha kwa kesi hizo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni