Hatimaye ile kesi ya kifo cha aliyekuwa mwandishi wa habari mkoani Iringa nduku Daudi Mwangosi iliyokuwa ikimkabiri ndugu Pasificus Saimon yamalizika kwa mahakama kuu kanda ya Iringa kutoa hukumu hii leo.
Mshitakiwa huyo ambaye alikuwa ni askari wa jeshi la polisi kitengo cha kutuliza ghasia FFU Mjini Iringa amekutwa hatiani kwa kosa LA kuua bila kukusudia kitendo alichokitekeleza mnamo tarehe 02/09/2012 mkoani humor wakati mwandishi huyo akiwa kazini huku jeshi la polisi likiwajibika kuutawanya mkutano wa kisiasa wa CHADEMA wakati mikutano hiyo ikiwa imesitishwa kupisha zoezi la sensa ya watu na makazi iliyokuwa ikiendelea nchi nzima.
Mahakama hiyo imemuadhibu mshitakiwa Hugo kwenda jela miaka 15.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni