Mwanamuziki nguli wa muziki wa dansi nchini Congo Koff Olomide Jana amehukumiwa kifungo cha kwenda jela miezi 18 ambayo in sawa na mwaka 1 na miezi 6.Mwanamuziki huyo alikumbwa na kadhia hiyo baada ya kuntwanga makofi mnenguwaji wake wa like ktk onesho.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni