Jumatano, 27 Julai 2016

KOFF OLOMIDE JELA MWAKA NA NUSU CONGO.

Mwanamuziki nguli wa muziki wa dansi nchini Congo Koff Olomide Jana amehukumiwa kifungo cha kwenda jela miezi 18 ambayo in sawa na mwaka 1 na miezi 6.Mwanamuziki huyo alikumbwa na kadhia hiyo baada ya kuntwanga makofi mnenguwaji wake wa like ktk onesho.

Hakuna maoni: