Ijumaa, 29 Julai 2016

KUFANANA NA RAIS KWAZUA TAFLANI DAR.

Leo ktk mitaa ya soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam,kumetokea taflani baada ya mtu mmoja anayesadikiwa kufanana kwa sura na Rais Dk.John Pombe Magufuli kutinga sokoni hapo kujipatia mahitaji yake hali iliyopelekea wananchi kumfuata nyuma nyuma wakiamiani kuwa ndiye Rais hvy ametembelea sokoni hapo kwa kushitukiza.
Hata hvy mzee huyo baada ya kuona anafuatwa na kushangiliwa na watu aliamua kusimama ambapo alizungukwa na watu.Hatimaye alijieleza na watu wakamuelewa.Hata hvy watu wanafanana sn lkn hutofautiana kwa mengi.
Wanachi tunapaswa kuwa makini.

Hakuna maoni: