Mwanaume mmoja Afrika kusini ajiua kwa kujiteketeza kwa moto hadi kufa baada ya mkewe kujifungua mapacha wenye asili ya Kuchina.
Habari zinasema mwanamama huyo alikuwa akifanya kazi kwny mgahawa wa Wachina,hvy yaweza kuwa alipata mimba toka kwa mmoja kati ya mabosi wake hao.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni