Alhamisi, 28 Julai 2016

KWA HELI NEY WA MITEGO

Hatimaye baraza la Sanaa Tanzania(BASATA)Lamfungia kwa muda usiojulikana Msanii wa Hip Hop,Bwn.Ney wa Mitego.Balaza hilo limemtaka msanii huyo kutojihusisha na muziki tena hapa Nchini hadi hapo watakapoamua kumfungulia.
Wadau na mashabiki wa msanii huyo na Hip Hop kwa ujumla wamesema kwamba kufungiwa na kukatazwa kujihusisha na musiki halafu tena kwa muda usiyojulikana ni sawa na kumpoteza kavisa Ney wa Mitego ktk tasnia ya muziki nchini Tanzania.Msanii huyo aliyewahi kutamba na ngoma kibao na za ukweli ikiwemo "AM TRUE BOY" amekumbwa na kadhis hiyo baada ya kutoa ngoma yake mpya iitwayo "PALE KATI PATAMU"ambapo mashairi na video yake sito rafiki kwa maadili ya taifa hili.

Hakuna maoni: