Jumatano, 27 Julai 2016

HATIMAYE BI CLINTON APITISHWA URAIS MAREKANI.

Hatimaye mwanasiasa wa kike nchini Marekani Bi.Hillary Clinton hii leo ameteuliwa na kutangazwa rasmi na chama chake cha Democrats(Democratic National Convetion)kuwa mgombea urais wa Marekani kupitia chama hicho.
Mwana mama huyo shupavu na mwenye sera zenye mvuto kwa Wamarekani wengi ktk hafla au mkutano huo mkuu uliohudhuriwa na wananchi,wanaharakati na wanasiasa mbalimbali alimuarika pia kiongozi mkuu wa chama cha ACT Wazalendo kutoka Tanzania Mh.Zitto Zubery Kabwe.
Pamoja na hayo wananchi wa taifa hilo kubwa Duniani akiwemo Mumewe Bwana Clinton wameinesha kuwa na tumaini naye na kudai kwamba anafaa kuliongoza taifa hilo.





Hakuna maoni: