Jumatatu, 19 Septemba 2016

UTAMADUNI WETU.

Leo bado tumesalia hapahapa mkoani Dodoma tukiangazia ngoma za asili za wenyeji wa mkoa huu ambao ni Wagogo,Warangi na Wanyambwa.Lkn leo bado tuko na Wagogo ambao wao wamechukua sehemu kubwa sana ya mkoa huu hasa katikati,mashariki na kusini mwa mkoa huu wamejaa wagogo.Hebu leo wasikilize kikundi cha Nyota kutoka kabila hili la Wagogo kutoka wilayani Chamwino.
Unaweza tuandikia barua kupitia
 joachimmkwawa8@gmail.com
+255-629108340
+255-629114323.

Hakuna maoni: