Ujasiriamali,Biashara,Mahusiano,Siasa,Michezo, Burudani na Matangazo.
Jumatatu, 19 Septemba 2016
UTAMADUNI WETU.
Leo bado tumesalia hapahapa mkoani Dodoma tukiangazia ngoma za asili za wenyeji wa mkoa huu ambao ni Wagogo,Warangi na Wanyambwa.Lkn leo bado tuko na Wagogo ambao wao wamechukua sehemu kubwa sana ya mkoa huu hasa katikati,mashariki na kusini mwa mkoa huu wamejaa wagogo.Hebu leo wasikilize kikundi cha Nyota kutoka kabila hili la Wagogo kutoka wilayani Chamwino.
Unaweza tuandikia barua kupitia
joachimmkwawa8@gmail.com
+255-629108340
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni