Wakati wa kutafuta kura watu hujitoa ufahamu.
Duh,nakumbuka Mh.Rais Magufuli wakati ule alikuwa akipiga hadi push up.
Haaahahahaahaaa,hebu icheki hii nayo ilinoga haswaaah.
NB:Hatujaziweka kwa nia mbaya,hii ni ktk kukufurahisha tu wewe msomaji wetu kama vile ambavyo kurasa zetu zingine zinavyokufurahisha mfano:
~Mchana na Katuni
~Kupigwa tunajitakia
~Wazo la leo nk.
Hivyo usitoke na mawazo tofauti ukitoka humu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni