Jumatatu, 19 Septemba 2016

KUPIGWA TUNAJITAKIA.

Huyu mtu kwa lolote litakalomtokea ana wajibu wa kuyapokea.
(1)Anachafua mazingira
(2)Anachafua maji
(3)Anahatarisha afya za watumiaji wengine wa maji.
(4)Anajisaidia sehemu isiyostahili.
Aaaaah,tupigwe tu coz tunajikia.

Hakuna maoni: