Ijumaa, 9 Septemba 2016

UPDP KUANDAMANA SEPT 15

Chama cha UPDP nchini kimetangaza kuwa kitafanya maandamano ya Amani ya kumpongeza Rais Magufuli kwa kufanikiwa kuzuia maandamano na mikutano ya kisiasa Nchini.
Hayo yamesemwa Leo na M/kiti wa chama hicho cha siasa nchini.Kwa mujibu wa kiongozi Hugo,maandamano hayo yamepangwa kufanyika Septemba 15.

Hakuna maoni: