Jumanne, 27 Septemba 2016

RAIS WA ZAMANI WA ISRAEL AFARIKI DUNIA.

Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu na Raid wa zamani wa Israel Mh.Shimon Peres afariki Dunia mapema Leo hii.
Shimon alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya kiharusi.Tayari Rais Obama wa Marekani mapema hii ametuma salamu za rambirambi kwa nchi ya Israel.

Hakuna maoni: