Karibu tens ewe mpendwa msomaji wetu upendezwaye na blog hii adhimu ya mnyausiblog.blogspot.com
Leo tunakuletea tamthilia fupi na nzuri iitwayo TENDA WEMA NENDA ZAKO.
Karibu,
Siku moja ktk kijiji fulani cha wavuvi kilichokuwa pembezoni mwa bahari,wavuvi waliingia baharini kuvua samaki,lkn wakiwa bahatini ghafla wakaona kitu kikielea.Je,waliona nini?Shuka nayo hapa chini>>>
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni