Alhamisi, 29 Septemba 2016
KILICHOJILI KTK KIKAO CHA KUMVUA UANACHAMA LIPUMBA.

MAGAZETINI LEO

Jumanne, 27 Septemba 2016
RAIS WA ZAMANI WA ISRAEL AFARIKI DUNIA.
Aliyewahi kuwa Waziri Mkuu na Raid wa zamani wa Israel Mh.Shimon Peres afariki Dunia mapema Leo hii.
Shimon alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya kiharusi.Tayari Rais Obama wa Marekani mapema hii ametuma salamu za rambirambi kwa nchi ya Israel.
Shimon alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya kiharusi.Tayari Rais Obama wa Marekani mapema hii ametuma salamu za rambirambi kwa nchi ya Israel.

Jumatatu, 26 Septemba 2016
MCHANA NA KATUNI.
Kuelekea mechi ya Simba na Yanga jumamosi hii,tayari tambo na kebehi mbalimbali kwa watani hao wajadi zapamba moto.

Jumamosi, 24 Septemba 2016
MAGAZETINI LEO

Alhamisi, 22 Septemba 2016
WAZO LA LEO

UPENDO NI TIBA KWA NAFSI ILIYOJERUHIWA
Penda ili upendwe.
Palipo na Upendo pana mafanikio,utajiri,amani,huruma,uvumilivu na kujali.
Pasipo upendo kuna machafuko.Tupendane jamani.
Palipo na Upendo pana mafanikio,utajiri,amani,huruma,uvumilivu na kujali.
Pasipo upendo kuna machafuko.Tupendane jamani.

MCHANA NA KATUNI

MCHANA WA VIOJA

Jumatatu, 19 Septemba 2016
KUPIGWA TUNAJITAKIA.
Huyu mtu kwa lolote litakalomtokea ana wajibu wa kuyapokea.
(1)Anachafua mazingira
(2)Anachafua maji
(3)Anahatarisha afya za watumiaji wengine wa maji.
(4)Anajisaidia sehemu isiyostahili.
Aaaaah,tupigwe tu coz tunajikia.
(1)Anachafua mazingira
(2)Anachafua maji
(3)Anahatarisha afya za watumiaji wengine wa maji.
(4)Anajisaidia sehemu isiyostahili.
Aaaaah,tupigwe tu coz tunajikia.

MCHANA NA KATUNI

UTAMADUNI WETU.
Leo bado tumesalia hapahapa mkoani Dodoma tukiangazia ngoma za asili za wenyeji wa mkoa huu ambao ni Wagogo,Warangi na Wanyambwa.Lkn leo bado tuko na Wagogo ambao wao wamechukua sehemu kubwa sana ya mkoa huu hasa katikati,mashariki na kusini mwa mkoa huu wamejaa wagogo.Hebu leo wasikilize kikundi cha Nyota kutoka kabila hili la Wagogo kutoka wilayani Chamwino.
Unaweza tuandikia barua kupitia
joachimmkwawa8@gmail.com
+255-629108340
+255-629114323.
Unaweza tuandikia barua kupitia
joachimmkwawa8@gmail.com
+255-629108340

TAMTHILIA:-TENDA WEMA NENDA ZAKO.
Karibu tens ewe mpendwa msomaji wetu upendezwaye na blog hii adhimu ya mnyausiblog.blogspot.com
Leo tunakuletea tamthilia fupi na nzuri iitwayo TENDA WEMA NENDA ZAKO.
Karibu,
Siku moja ktk kijiji fulani cha wavuvi kilichokuwa pembezoni mwa bahari,wavuvi waliingia baharini kuvua samaki,lkn wakiwa bahatini ghafla wakaona kitu kikielea.Je,waliona nini?Shuka nayo hapa chini>>>
Leo tunakuletea tamthilia fupi na nzuri iitwayo TENDA WEMA NENDA ZAKO.
Karibu,
Siku moja ktk kijiji fulani cha wavuvi kilichokuwa pembezoni mwa bahari,wavuvi waliingia baharini kuvua samaki,lkn wakiwa bahatini ghafla wakaona kitu kikielea.Je,waliona nini?Shuka nayo hapa chini>>>

WAZO LA LEO

MZAZI WAKO NDIYE SHUJAA WAKO.
Pamoja na kwamba wapo waliotelekezwa ama kukataliwa na baadhi ya wazazi wao,lkn bado ukweli huu unabaki palepale ya kwamba rafiki wa kweli ni baba na mama au mmoja kati yao.Wengine wanaweza wakakutimizia mahitaji flani maisjani mwako ukahisi wanakupenda lkn tunda la roho lipo kwa mzazi aliyekuzaa.
Mtu baki atakusaidia kitu ili apate kitu,lkn mzazi wako kukusaidia kwake ni wajibu.
Mtu baki unaweza mkosea ukamwomba msamaha lkn akabaki na kinyongo juu yako lkn mzazi ana msamaha wa kweli.
Mtu baki anawezakuwa rafiki mtaka maslahi kwako,ama kukupenda kwa sababu ya kitu fulani ulichonacho,lkn mzazi yupo kukupa usichokuwanacho.
Mtu baki hata akifa leo mbele yako maumivu yake ktk kumpoteza si kama itakavyokuwa pindi unapompoteza mzazi.
Mtu baki atakusema vibaya vijiweni au hata kazini kwako kutokana na madhaifu yako,lkn mzazi huyatumia madhaifu yako kukufanya uwe bora.
Mzazi ndiye mwenye kukuwazia mema na mtu wa pili ktk kukufanikisha huku Mungu akiwa mtangulizi wake ktk hii Dunia.Haijalishi mzazi wako yukoje,mheshimu,mpe nafasi ya kuzijua na kukusaodia kuzitatua changamoto zako...,mzazi wako ndiye msiri wako kuliko hata huyo mpenzi wako.
Mtu baki anaweza achana na wewe akawa na mwingine lkn mama au baba hata iweje wanabakia kuwa hivyo tu..Kila ulalapo ama uamkapo mwombe Mungu awalinde wazazi wako ikiwa kama bado wako hai,lkn kama walishafariki waombee kwa Mungu awarehemu.
Eee,Mungu tunakuomba uwalinde na kuwazidisha wazazi wetu wote waliopo hapa Duniani,lkn pia tunaomba na kwa wale ambao umekwisha kuwatanguliza mbele za haki,Bwana uwarehemu,uwasamehe dhambi zao na kuwapumzisha kwa Amani.
Baba tunakuomba sisi wanao utupe,ufahamu,hekima,nidhamu na maarifa ktk kuyatumiza mapenzi yako juu yao hawa wazazi wetu tukitambua ya kuwa wewe ndiye uliwapa kibali kwamba kupitia wao sisi tukazaliwe.Tunaomba baba utukumbushe kuwaheshimu na kuwajali kwa hali na mali,lkn pia utusamehe sisi watoto ambao kwa namna moja ama nyingine tuliwatenda dhambi wazazi wetu iwe kwa maneno,kwa vitendo au hata kwa kutokuwatii.
Tunaomba yote hayo tukiamini na kuyapokea toka kwako,Amen.
Mtu baki atakusaidia kitu ili apate kitu,lkn mzazi wako kukusaidia kwake ni wajibu.
Mtu baki unaweza mkosea ukamwomba msamaha lkn akabaki na kinyongo juu yako lkn mzazi ana msamaha wa kweli.
Mtu baki anawezakuwa rafiki mtaka maslahi kwako,ama kukupenda kwa sababu ya kitu fulani ulichonacho,lkn mzazi yupo kukupa usichokuwanacho.
Mtu baki hata akifa leo mbele yako maumivu yake ktk kumpoteza si kama itakavyokuwa pindi unapompoteza mzazi.
Mtu baki atakusema vibaya vijiweni au hata kazini kwako kutokana na madhaifu yako,lkn mzazi huyatumia madhaifu yako kukufanya uwe bora.
Mzazi ndiye mwenye kukuwazia mema na mtu wa pili ktk kukufanikisha huku Mungu akiwa mtangulizi wake ktk hii Dunia.Haijalishi mzazi wako yukoje,mheshimu,mpe nafasi ya kuzijua na kukusaodia kuzitatua changamoto zako...,mzazi wako ndiye msiri wako kuliko hata huyo mpenzi wako.
Mtu baki anaweza achana na wewe akawa na mwingine lkn mama au baba hata iweje wanabakia kuwa hivyo tu..Kila ulalapo ama uamkapo mwombe Mungu awalinde wazazi wako ikiwa kama bado wako hai,lkn kama walishafariki waombee kwa Mungu awarehemu.
Eee,Mungu tunakuomba uwalinde na kuwazidisha wazazi wetu wote waliopo hapa Duniani,lkn pia tunaomba na kwa wale ambao umekwisha kuwatanguliza mbele za haki,Bwana uwarehemu,uwasamehe dhambi zao na kuwapumzisha kwa Amani.
Baba tunakuomba sisi wanao utupe,ufahamu,hekima,nidhamu na maarifa ktk kuyatumiza mapenzi yako juu yao hawa wazazi wetu tukitambua ya kuwa wewe ndiye uliwapa kibali kwamba kupitia wao sisi tukazaliwe.Tunaomba baba utukumbushe kuwaheshimu na kuwajali kwa hali na mali,lkn pia utusamehe sisi watoto ambao kwa namna moja ama nyingine tuliwatenda dhambi wazazi wetu iwe kwa maneno,kwa vitendo au hata kwa kutokuwatii.
Tunaomba yote hayo tukiamini na kuyapokea toka kwako,Amen.

MCHANA NA KATUNI

MAISHA:-TOFAUTISHA NDOTO NA MALENGO
Ndoto Mara chache sana ikawa dhahiri ama yenye ukweli maishani mwa mtu.Ndoto ni kama upepo tu,kwani mtu huweza kuota umelalia mapesa ama umejenga magorofa lkn mara unapoamka tu unajikuta uko vile vile kama ambavyo ulilala yaani huna cha hayo mapesa wala magorofa.
Ndoto husaulika haraka kwani siyo maono ama malengo na wakati mwingine unaweza amka akajikuta umesahau ama hukumbuki vema ulichokuwa ukikiota.Wengi hufa na ndoto zao bila kizitimiza kutokana na ukweli kwamba ndoto huwa haiji na njia,mbinu au hamasa za wewe muotaji kufanikiwa.
Malengo/Maono
~Mara nyingi maono hujenga kitu kwani akionacho MTU NA kukitumainia au kukifanyia kazi ndicho humtafsiri yaani humtokea.
Utafiti unaonesha kwamba waliofanikiwa maishani wengi wao waliongozwa NA kitu malengo ambayo waliyawekeza ktk mile walichokiona ndani yao.
Malengo huleta njia,mbinu na sababu ya kuifanikisha adhima ya MTU ktk maisha.Malengo ni mwanzo wa muundo na udhihirisho wa mtu vile anataka kuwa.Bila maono na malengo ni sawa na kuendesha baiskeli isiyo na breki kwenye mteremko mkali.Bila malengo huwezi hangaikia mafanikio ama kuipangalia na kuitumia vema pesa yako.Bila malengo NA kuichukia hali yako utabaki hivyo hivyo ulivyo.
Hivyo kuna tofauti kubwa sana kati ya ndoto NA maono ama malengo.Anza kuwekeza ktk malengo yako juu ya wewe ni nani na unataka kuwa nani,wakati gani,wapi na kwa nini unataka uwe hivyo.Hii itakufanya kila ulalapo ama uamkapo uikumbuke na kutamani kuitimiza adhima yako.Tunza ama wekeza pesa NA mawazo yako ktk kile unachokiamini na kulenga kukifanya.
Hapa chini tumekuonesha namna ambavyo Vijana wenzetu tayari wameanza kuziishi dhamira zao.Na kwa mtindo huu in dhahiri kwamba kufanikuwa kwao kutakuwa rahisi kutokana na ukweli kwamba tayari wameshakiona NA kukufanyia kazi kile walichokiona ndani mwao NA siyo walichokiota.
Ndoto husaulika haraka kwani siyo maono ama malengo na wakati mwingine unaweza amka akajikuta umesahau ama hukumbuki vema ulichokuwa ukikiota.Wengi hufa na ndoto zao bila kizitimiza kutokana na ukweli kwamba ndoto huwa haiji na njia,mbinu au hamasa za wewe muotaji kufanikiwa.
Malengo/Maono
~Mara nyingi maono hujenga kitu kwani akionacho MTU NA kukitumainia au kukifanyia kazi ndicho humtafsiri yaani humtokea.
Utafiti unaonesha kwamba waliofanikiwa maishani wengi wao waliongozwa NA kitu malengo ambayo waliyawekeza ktk mile walichokiona ndani yao.
Malengo huleta njia,mbinu na sababu ya kuifanikisha adhima ya MTU ktk maisha.Malengo ni mwanzo wa muundo na udhihirisho wa mtu vile anataka kuwa.Bila maono na malengo ni sawa na kuendesha baiskeli isiyo na breki kwenye mteremko mkali.Bila malengo huwezi hangaikia mafanikio ama kuipangalia na kuitumia vema pesa yako.Bila malengo NA kuichukia hali yako utabaki hivyo hivyo ulivyo.
Hivyo kuna tofauti kubwa sana kati ya ndoto NA maono ama malengo.Anza kuwekeza ktk malengo yako juu ya wewe ni nani na unataka kuwa nani,wakati gani,wapi na kwa nini unataka uwe hivyo.Hii itakufanya kila ulalapo ama uamkapo uikumbuke na kutamani kuitimiza adhima yako.Tunza ama wekeza pesa NA mawazo yako ktk kile unachokiamini na kulenga kukifanya.
Hapa chini tumekuonesha namna ambavyo Vijana wenzetu tayari wameanza kuziishi dhamira zao.Na kwa mtindo huu in dhahiri kwamba kufanikuwa kwao kutakuwa rahisi kutokana na ukweli kwamba tayari wameshakiona NA kukufanyia kazi kile walichokiona ndani mwao NA siyo walichokiota.

MAGAZETINI LEO 19/09/2016

Jumapili, 18 Septemba 2016
MCHANA WA VIOJA.
Wakati wa kutafuta kura watu hujitoa ufahamu.
Duh,nakumbuka Mh.Rais Magufuli wakati ule alikuwa akipiga hadi push up.
Haaahahahaahaaa,hebu icheki hii nayo ilinoga haswaaah.
NB:Hatujaziweka kwa nia mbaya,hii ni ktk kukufurahisha tu wewe msomaji wetu kama vile ambavyo kurasa zetu zingine zinavyokufurahisha mfano:
~Mchana na Katuni
~Kupigwa tunajitakia
~Wazo la leo nk.
Hivyo usitoke na mawazo tofauti ukitoka humu.
Duh,nakumbuka Mh.Rais Magufuli wakati ule alikuwa akipiga hadi push up.
Haaahahahaahaaa,hebu icheki hii nayo ilinoga haswaaah.
NB:Hatujaziweka kwa nia mbaya,hii ni ktk kukufurahisha tu wewe msomaji wetu kama vile ambavyo kurasa zetu zingine zinavyokufurahisha mfano:
~Mchana na Katuni
~Kupigwa tunajitakia
~Wazo la leo nk.
Hivyo usitoke na mawazo tofauti ukitoka humu.

KUPIGWA TUNAJITAKIA.
Leo sina mengi bali jionee tu mwenyewe ndugu msomaji wangu.
Hapa kuna vitu vinne vyenye kumtahadharisha dereva kutokufanya makosa kiasi cha kuyagharimu maisha ya watu.
(1)Mteremko kisha mwinuko mkali kiasi.
~Hii ikimaanisha huyu wa basi ana overtake kwenye mteremko halafu mbele yake kuna mlima ama mwonuko na kwa hivyo hawezi ona kinachokuja mbele.
(2)Kona na Mchoro
~Hii ilitosha kabisa kumuonya dereva wa basi kwamba hiki kikona pamoja mstari uliochorwa barabarani hakuruhusiwa ku overtake ktk eneo lile.
(3)Mwendokasi
~Hapa ktk kuovertake huku akiwa amevunja sharia zote tatu kwa wakati mmoja bado hakutaka kuwa mpole zaidi anaendesha mwendo mbaya sana.
(4)Askari wa Usalama barabarani.
~Mkono wake wa Julia kulikuwa NA kituo cha usalama barabarani NA askari wapo hapo na wanaonekana lkn jamaa hakujali.
Hebu sasa jiulize mfano huyu MTU anapata ajali atamlaumu MTU??,au akipigwa faini hapo kuna kuonewa?.
WAPIGWE TU MAANA WANAJITAKIA.
Hapa kuna vitu vinne vyenye kumtahadharisha dereva kutokufanya makosa kiasi cha kuyagharimu maisha ya watu.
(1)Mteremko kisha mwinuko mkali kiasi.
~Hii ikimaanisha huyu wa basi ana overtake kwenye mteremko halafu mbele yake kuna mlima ama mwonuko na kwa hivyo hawezi ona kinachokuja mbele.
(2)Kona na Mchoro
~Hii ilitosha kabisa kumuonya dereva wa basi kwamba hiki kikona pamoja mstari uliochorwa barabarani hakuruhusiwa ku overtake ktk eneo lile.
(3)Mwendokasi
~Hapa ktk kuovertake huku akiwa amevunja sharia zote tatu kwa wakati mmoja bado hakutaka kuwa mpole zaidi anaendesha mwendo mbaya sana.
(4)Askari wa Usalama barabarani.
~Mkono wake wa Julia kulikuwa NA kituo cha usalama barabarani NA askari wapo hapo na wanaonekana lkn jamaa hakujali.
Hebu sasa jiulize mfano huyu MTU anapata ajali atamlaumu MTU??,au akipigwa faini hapo kuna kuonewa?.
WAPIGWE TU MAANA WANAJITAKIA.

WAZO LA LEO

Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)