Lebo ya Muziki ya Wasafi chini ya CEO wake Diamond Platinums imeamua kukusanya wasanii mbalimbali na kuanzisha bendi.Uamuzi huo umekuja baada ya kuusoma vema mchezo na mwenendo ama muelekeo wa muziki ulivyo hivi sasa ndani na nje ya nchi.
Kundi hill La wasanii(bendi)linasemekana linaundwa na idadi kubwa ya wasanii waliyokuwa wakiunda kundi La Yamoto Band kipindi cha chuma.
Kwa mujibu wa chanzo chetu ni kwamba Wasanii kutoka Yamoto Band na ambao wanatarajiwa kuwa sehemu ya bendi hiyo mpya toka Wasafi(WCB)ni pamoja na Enock Bella,Mboso,Bella na wengineo buku msanii Lava Lava akitajwa kuwa kiongozi wa kundi hilo ndani ya bendi yao hiyo mpya.Huku msanii Aslay akikosekana ndani take.
Mnyausi News tutaendelea kukujuza hatua kwa hatua juu ya hili.
Kundi hill La wasanii(bendi)linasemekana linaundwa na idadi kubwa ya wasanii waliyokuwa wakiunda kundi La Yamoto Band kipindi cha chuma.
Kwa mujibu wa chanzo chetu ni kwamba Wasanii kutoka Yamoto Band na ambao wanatarajiwa kuwa sehemu ya bendi hiyo mpya toka Wasafi(WCB)ni pamoja na Enock Bella,Mboso,Bella na wengineo buku msanii Lava Lava akitajwa kuwa kiongozi wa kundi hilo ndani ya bendi yao hiyo mpya.Huku msanii Aslay akikosekana ndani take.
Mnyausi News tutaendelea kukujuza hatua kwa hatua juu ya hili.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni