Jumamosi, 21 Machi 2020

Q.CHILA AFUNGUKA KUHUSU FA KUKUMBWA NA CORONA.

Msanii mkongwe wa Muziki wa Bongo fleva nchini Tanzania;Q Chila amesema kwamba kuhusu msanii mwenzake wa Muziki huo nchini Mwana FA kupatwa na Maambukizi ya Virusi vya CORONA inawezekana isiwe kweli Bali ni kiki tu.
Hutu hapa msanii Q'Chief ukipenda Q'Chila akifunguka.

Hakuna maoni: