Na Joachim Mkwawa.
Hii leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.John Pombe Magufuli atoa onyo Kali kwa wananchi wake wote wa Tanzania juu ya ugonjwa hatari na tishio kwa uchumi wa Dunia;ugonjwa wa Corona.
Asisitiza kwamba Corona ni ugonjwa hatari na unaogharimu(kuua)maisha ya binadamu hataka kuliko magonjwa mengine.
Rais Magufuli akiongea hayo ameonya pia juu ya Tabia za watu wanaopenda kusafiri hovyo ndani na nje ya nchi.Kila Mtu katika familia yake nchini Tanzania anao wajibu wa kuchukua hatua kujilinda na kuelemisha wengine juu ya janga hili La Dunia.
Mtizame mheshimiwa Rais John Magufuli kupitia video hii.
Hii leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.John Pombe Magufuli atoa onyo Kali kwa wananchi wake wote wa Tanzania juu ya ugonjwa hatari na tishio kwa uchumi wa Dunia;ugonjwa wa Corona.
Asisitiza kwamba Corona ni ugonjwa hatari na unaogharimu(kuua)maisha ya binadamu hataka kuliko magonjwa mengine.
Rais Magufuli akiongea hayo ameonya pia juu ya Tabia za watu wanaopenda kusafiri hovyo ndani na nje ya nchi.Kila Mtu katika familia yake nchini Tanzania anao wajibu wa kuchukua hatua kujilinda na kuelemisha wengine juu ya janga hili La Dunia.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni