Ijumaa, 13 Machi 2020

ACHA MOYO WAKO UONGEE.

Habari za wakati huu ndugu mpendwa na msomaji wetu wa blog hii pendwa.
Nachukua fursa hii adhim kukueleza ya kwamba haijalishi ni yepi magumu unayapitia wakati kutokana na sababu mbalimbali za kimaisha.Naomba nikwambie kwamba yote unayoyapitia ni sehemu tu ya mchakato wa kukufanya ama kukutengeneza kuwa bora kulingana na hatima yako maishani.
USILIE.ACHA MOYO WAKO UONGEE.

Hakuna maoni: