Hello team
Nimerejea na segment yetu ile toka kitambo.Hapa ndipo huwa tunanyoosha palipopinda.Ni makavu live tu.Haijalishi itakuuma kiasi gani.
Ujuwe mara nyingi KUPIGWA huwa hakuji tu hivihivi.KUPIGWA siyo lazima kweli MTU akushike na kuanza kukupiga kama wengineo mnavyofikiria;laa hasha.
Wakati mwingine kuibiwa Mali yako ni KUPIGWA,Kurogwa ni kupigwa pia.
Kujitakia ni pale ambapo Mtu unafahamu fika kwamba kufanyaje jambo Fulani hata kama halikukatazwa ni vibaya ama si kitendo cha kiungwana lakini cha ajabu kwa makusudi tu MTU anaamua kufanyaje buku unajuwa ni kosa kufanya hivyo.
Sasa mfano wewe mdada Mtu mzima na akili zako tens usikute unaishi na wazazi wako hasa mzazi wako wa kiume unaishi naye nyumba moja na Halafu bila woga kweli unapofua nguo zako za ndani na kuzianika nje tena umezisambaza kamba nzima ni sawa??.
Hebu fikiria mfano mdogo wako wa kiume aliyebarehe anaka mlangoni au kibarazani macho kayatumbulia kwenye kamba anaona kufuli(chupi)zako zilivuozagaa inakuwaje??.Kwa hiyo anjuwa kumbe Dada ana kufuli rangi hii,na ile na ile jamani.Sasa mfano ndo umeanika tu baba yako anaingia anakuta upepo umezidonsha kufuli mbichi kadhaa hapo chini.Atakuita we Fulani njoo nguo zimedondoka,au atainama aziokote na kuzitundika tena kambani ama???.Wengineo mpo kwenye nyumba za kupanga uswahilini huko Halafu unaanika mikufuli yako hovyo hovyo ndiyo nini??.Wadada wengi siku hizi wanahangaika na uzazi lakini ukiwachunguza kwa vipimo mahospitali unakuta wako vizuri lakini mimba hawapati na hawajui ni kwa nini.Moja ya sababu ni uanikaji hovyo wa nguo zao za ndani.Hapo umeanika mfano Mtu mbaya akaifanyia mazingara hujadhurika??.Ama watoto wakishaona hadharani hujiheshimu na minguo unaanika hovyo watakuheshimu kweli??.
Aaaah peleka huko.Wakati mwingine KUPIGWA MNAJITAKIA.
Joachim Mkwawa
mnyausiblog.blogspot.com
Nimerejea na segment yetu ile toka kitambo.Hapa ndipo huwa tunanyoosha palipopinda.Ni makavu live tu.Haijalishi itakuuma kiasi gani.
Ujuwe mara nyingi KUPIGWA huwa hakuji tu hivihivi.KUPIGWA siyo lazima kweli MTU akushike na kuanza kukupiga kama wengineo mnavyofikiria;laa hasha.
Wakati mwingine kuibiwa Mali yako ni KUPIGWA,Kurogwa ni kupigwa pia.
Kujitakia ni pale ambapo Mtu unafahamu fika kwamba kufanyaje jambo Fulani hata kama halikukatazwa ni vibaya ama si kitendo cha kiungwana lakini cha ajabu kwa makusudi tu MTU anaamua kufanyaje buku unajuwa ni kosa kufanya hivyo.
Sasa mfano wewe mdada Mtu mzima na akili zako tens usikute unaishi na wazazi wako hasa mzazi wako wa kiume unaishi naye nyumba moja na Halafu bila woga kweli unapofua nguo zako za ndani na kuzianika nje tena umezisambaza kamba nzima ni sawa??.
Hebu fikiria mfano mdogo wako wa kiume aliyebarehe anaka mlangoni au kibarazani macho kayatumbulia kwenye kamba anaona kufuli(chupi)zako zilivuozagaa inakuwaje??.Kwa hiyo anjuwa kumbe Dada ana kufuli rangi hii,na ile na ile jamani.Sasa mfano ndo umeanika tu baba yako anaingia anakuta upepo umezidonsha kufuli mbichi kadhaa hapo chini.Atakuita we Fulani njoo nguo zimedondoka,au atainama aziokote na kuzitundika tena kambani ama???.Wengineo mpo kwenye nyumba za kupanga uswahilini huko Halafu unaanika mikufuli yako hovyo hovyo ndiyo nini??.Wadada wengi siku hizi wanahangaika na uzazi lakini ukiwachunguza kwa vipimo mahospitali unakuta wako vizuri lakini mimba hawapati na hawajui ni kwa nini.Moja ya sababu ni uanikaji hovyo wa nguo zao za ndani.Hapo umeanika mfano Mtu mbaya akaifanyia mazingara hujadhurika??.Ama watoto wakishaona hadharani hujiheshimu na minguo unaanika hovyo watakuheshimu kweli??.
Aaaah peleka huko.Wakati mwingine KUPIGWA MNAJITAKIA.
Joachim Mkwawa
mnyausiblog.blogspot.com
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni