Na Joachim Mkwawa.
Kila kona Duniani hivi sasa lugha inayoongewa ni moja tu.Nayo si nyingine ni juu ya kuenea kwa virusi vya ugonjwa wa ajabu na hatari wa Corona.
Corona unaripotiwa kuwa ni ugonjwa hatari sana ambao umekuwa tishio si tu kwa kukatisha uhai wa binadamu haraka Bali hata kudumaza ama kuwa tishio kwa uchumi wa Mataifa mbalimbali Duniani.Kwa Sasa kesi nyingi za Ugonjwa huu zinaripotiwa karibia Mabara yote Duniani na hasa kwa mataifa makubwa kama China,Italia,na kwingineko watu wakizidi kuambukizana na hata kupoteza maisha kwa wingi.
Basi kwa kuzingatia hayo Mnyausi News tumekuletea video yenye elimu juu ya ugonjwa huu hatari na namna ya kujikinga nao.
Kila kona Duniani hivi sasa lugha inayoongewa ni moja tu.Nayo si nyingine ni juu ya kuenea kwa virusi vya ugonjwa wa ajabu na hatari wa Corona.
Corona unaripotiwa kuwa ni ugonjwa hatari sana ambao umekuwa tishio si tu kwa kukatisha uhai wa binadamu haraka Bali hata kudumaza ama kuwa tishio kwa uchumi wa Mataifa mbalimbali Duniani.Kwa Sasa kesi nyingi za Ugonjwa huu zinaripotiwa karibia Mabara yote Duniani na hasa kwa mataifa makubwa kama China,Italia,na kwingineko watu wakizidi kuambukizana na hata kupoteza maisha kwa wingi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni