Jumatatu, 16 Machi 2020

CORONA YABISHA HODI TANZANIA.WAZIRI WA AFYA ATHIBITISHA.

Mapema asubuhi ya Leo Machi 16 Wizara ya Afya kupitia Waziri wake Mheshimiwa Ummi Mwalimu(MB)imesema kwamba mgonjwa hiyo ni mwanamke(46)Aligundulika kuwa na maambukizi ya virus 19 vya ugonjwa wa Corona.
Ikiwa hiki ndicho kisa cha kwanza cha ugonjwa huo kugundulika ambapo mwanamke huyo alisafiri akitokea nchini Ubelgiji kuja nchini Tanzania na kushuka Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro(KIA).
Chanzo:Milad Ayo(Ayo TV)

Hakuna maoni: