Mbunge wa Vitu maalum Morogoro mjini kupitia CHADEMA Mh.Devotha Minja;hii Leo amesaidia Wananchi mbalimbali wa Kata 15 za Manispaa ya Morogoro kwa kuingia mitaani na kugawa Barakoa 5000 kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya COVID-19.
Barakoa hizo zimegawiwa kwa makundi mbalimbali wakiwemo walemavu,mama ntilie,bodaboda,madeleva na makondakta wa daladala,wasari na watu mbalimbali wakubwa kwa Wagogo lengo likiwa ni kuonesha kwa vitendo juhudi zake katika kuhakikisha Wananchi wanajikinga na kuwa salama dhidi ya Corona ugonjwa ambao umekuwa tishio kwa afya uhai wa binadamu.
Barakoa hizo zimegawiwa kwa makundi mbalimbali wakiwemo walemavu,mama ntilie,bodaboda,madeleva na makondakta wa daladala,wasari na watu mbalimbali wakubwa kwa Wagogo lengo likiwa ni kuonesha kwa vitendo juhudi zake katika kuhakikisha Wananchi wanajikinga na kuwa salama dhidi ya Corona ugonjwa ambao umekuwa tishio kwa afya uhai wa binadamu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni