Wizara ya Afya nchini Tanzania yatangaza visa vipya 84 vya Corona.Na hivyo kufanya kufikia visa 254 tangu kuripotiwa kwa mara ya kwanza kuwepo kwa maambukizi ya Corona nchini.
Wananchi wote wameendelea kukumbushwa kuchukua tahadhari kama inavyoshauriwa na Wataalam wa Afya ili kujikinga na maambukizi ya ugonjwa huu hatari.Tahadhari hizo ni pamoja na kunawa mikono kwa maji safi na sabuni maalumu kila mara,kuvaa barakoa,kuepuka misongamano na mikusanyiko isiyo ya lazima nk.
Wananchi wote wameendelea kukumbushwa kuchukua tahadhari kama inavyoshauriwa na Wataalam wa Afya ili kujikinga na maambukizi ya ugonjwa huu hatari.Tahadhari hizo ni pamoja na kunawa mikono kwa maji safi na sabuni maalumu kila mara,kuvaa barakoa,kuepuka misongamano na mikusanyiko isiyo ya lazima nk.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni