Habari mpendwa msomaji wetu wa blog hii pendwa.
Natumai umzima wa afya lakini hongera kwa mapambano dhidi ya CORONA maana hili ni janga kubwa linalotutesa Duniani kote.
Leo mjasiriamali mwenzangu naomba nikushirikishe na kukuhamasisha kuhusu fursa iliyopo kutoka na janga hili(COVID-19).
Fursa hii itakuwa ni msaada kwanza kwako wewe mwenyewe lkn pia kwa familia na jamii inayokuzunguka kwa ujumla.
Unaweza kuwekeza Tsh.30'000/=(Elfu thelathini) na lakini ikakufanya kuingiza kipato mara 2 hadi 3 ya pesa uliyoiwekeza kila siku.Fanya hivi ingia dukani nunua kitambaa na lactic kisha mptafute fundi mzuri wa kushona Mpe akutengenezee barakoa(mask)kisha ingia Nazi masokoni,stendi za mabasi,au hata majumbani na uziuze kwa bei rafiki kwa mteja.Hapo utasidia jamii kujikinga na CORONA lakini pia utapata kipato.
Lakini hapa nimekuwekea video ya namna/jinsi rahisi ya kutengeneza barakoa za aina mbalimbali.
Natumai umzima wa afya lakini hongera kwa mapambano dhidi ya CORONA maana hili ni janga kubwa linalotutesa Duniani kote.
Leo mjasiriamali mwenzangu naomba nikushirikishe na kukuhamasisha kuhusu fursa iliyopo kutoka na janga hili(COVID-19).
Fursa hii itakuwa ni msaada kwanza kwako wewe mwenyewe lkn pia kwa familia na jamii inayokuzunguka kwa ujumla.
Unaweza kuwekeza Tsh.30'000/=(Elfu thelathini) na lakini ikakufanya kuingiza kipato mara 2 hadi 3 ya pesa uliyoiwekeza kila siku.Fanya hivi ingia dukani nunua kitambaa na lactic kisha mptafute fundi mzuri wa kushona Mpe akutengenezee barakoa(mask)kisha ingia Nazi masokoni,stendi za mabasi,au hata majumbani na uziuze kwa bei rafiki kwa mteja.Hapo utasidia jamii kujikinga na CORONA lakini pia utapata kipato.
Lakini hapa nimekuwekea video ya namna/jinsi rahisi ya kutengeneza barakoa za aina mbalimbali.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni