KUTOKA IBADANI.
Habari ndugu msomaji na mfuatiliaji wetu wa blog hii pendwa.
Tunatumai umzima wa afya.Awali ya yote tunatoa salamu za pole kwa wagonjwa wote wa COVID-19 Ulimwenguni kote,Pia pole kwa viongozi na wafiwa wote Duniani kutokana visa na vifo vitokanavyo na janga hili la Corona.Hata hivyo tunachukua fursa hii kuwakumbusha watu wote kuchukua hatua na tahadhali mbalimbali katika kujikinga na maambukizi ya ugonjwa juu hatari.Aidha tunawakumbusha kila mmoja wetu kuchukua hatua ya kuelimisha wengine kuhusu COVID-19 na namna ya kujikinga na zaidi sana tunashauri tubaki majumbani tukiwa salama.
Mpya hii Leo ni kwamba kuanzia Leo Mnyausiblog tutaanza kukuletea makala za mafundisho Kutoka Ibadani kupitia watumishi mbalimbali wa Mungu wanaohudumu makanisani na misikitini.
Lengo la safi hii ni kukuelimisha na kukuburudisha zaidi na zaidi.
Ni furaha na wajibu kwetu kukuona unaelimika na kukua kiungu(kiimani)na maisha kiujumla.
Leo tunaye Mchungaji Peter Mitimingi kutoka Tanzania akiwa na somo la
HATUA 6 MUHIMU ANAZOZIPITIA MWANADAMU KATIKA MAISHA.
Karibu ujifunze.
Habari ndugu msomaji na mfuatiliaji wetu wa blog hii pendwa.
Tunatumai umzima wa afya.Awali ya yote tunatoa salamu za pole kwa wagonjwa wote wa COVID-19 Ulimwenguni kote,Pia pole kwa viongozi na wafiwa wote Duniani kutokana visa na vifo vitokanavyo na janga hili la Corona.Hata hivyo tunachukua fursa hii kuwakumbusha watu wote kuchukua hatua na tahadhali mbalimbali katika kujikinga na maambukizi ya ugonjwa juu hatari.Aidha tunawakumbusha kila mmoja wetu kuchukua hatua ya kuelimisha wengine kuhusu COVID-19 na namna ya kujikinga na zaidi sana tunashauri tubaki majumbani tukiwa salama.
Mpya hii Leo ni kwamba kuanzia Leo Mnyausiblog tutaanza kukuletea makala za mafundisho Kutoka Ibadani kupitia watumishi mbalimbali wa Mungu wanaohudumu makanisani na misikitini.
Lengo la safi hii ni kukuelimisha na kukuburudisha zaidi na zaidi.
Ni furaha na wajibu kwetu kukuona unaelimika na kukua kiungu(kiimani)na maisha kiujumla.
Leo tunaye Mchungaji Peter Mitimingi kutoka Tanzania akiwa na somo la
HATUA 6 MUHIMU ANAZOZIPITIA MWANADAMU KATIKA MAISHA.
Karibu ujifunze.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni