Yeah!!;
Ya mkini kuna mambo unayapitia ni magumu sana kwako,unaona ni mtihani mkubwa sana kwako kuufauru.Ama yawezekana uko na maumivu makali sana yanayoutesa moyo wako.Umefukuzwa kazi,unatafuta kazi hupati,umetengwa,umefeli mitihani,unaugua ama unauguza.Umepoteza wapendwa wako,tumaini la maisha hulioni na unahisi kunyanyasika sana moyoni mwako na mengineyo kama hayo;Basi ndugu yangu ninakusihi kwamba usife moyo kwa sababu changamoto kamwe huwa hazikimbiwi.Changamoto zipo ili kutufanya tujijenge na kwa bora zaidi Kule tuendako.
Kamwe huwezi toka darasa moja kwenda kingine ikiwa hukuufauru mtihani.Unayoyapitia Leo ni mtihani tu.Usikate tamaa,nyanyuka usonge MBELE.Simama uendelee na safari;ushindi wako upo.SONGA MBELE USIKATE TAMAA.
Joachim Mkwawa
Motivational Sleeker
mnyausiblog.blogspot.com
Ya mkini kuna mambo unayapitia ni magumu sana kwako,unaona ni mtihani mkubwa sana kwako kuufauru.Ama yawezekana uko na maumivu makali sana yanayoutesa moyo wako.Umefukuzwa kazi,unatafuta kazi hupati,umetengwa,umefeli mitihani,unaugua ama unauguza.Umepoteza wapendwa wako,tumaini la maisha hulioni na unahisi kunyanyasika sana moyoni mwako na mengineyo kama hayo;Basi ndugu yangu ninakusihi kwamba usife moyo kwa sababu changamoto kamwe huwa hazikimbiwi.Changamoto zipo ili kutufanya tujijenge na kwa bora zaidi Kule tuendako.
Kamwe huwezi toka darasa moja kwenda kingine ikiwa hukuufauru mtihani.Unayoyapitia Leo ni mtihani tu.Usikate tamaa,nyanyuka usonge MBELE.Simama uendelee na safari;ushindi wako upo.SONGA MBELE USIKATE TAMAA.
Joachim Mkwawa
Motivational Sleeker
mnyausiblog.blogspot.com
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni