Jumamosi, 16 Mei 2020

HIZI HAPA FURSA 5 ZA KIBIASHARA ZINAZOHITAJI MTAJI MDOGO

Habar za wakati huu ndugu msomaji,mjasiriamali na maana jukwaa mwenzangu wa jukwaa pendwa la UJASIRI NI MALI(JIAJIIRI).
Hongera sana kwa mfungo wa Ramadhan,hongera kwa mapambano dhidi ya Covid-19.Na lakini pia hongera kwa kuendelea kuchakalika kimaisha ukiwa nyumbani.
Najuwa kila mtu anapambana katika shughuli mbalimbali ili kujipatia kipato.Yamkini unajiuliza leo mimi na jopo langu tumekuletea nini mezani??.
Basi leo kama kawaida yetu tunapenda kukuona wewe mjasiriamali ukiwa juu kibiashara na kipato.
Leo tumekusogezea fursa 5 muhimu za kibiashara ambazo zinahitaji mitaji midogo sana ili kuzianzisha/kuzifanya.
Angalia video hii mwanzo hadi mwisho naamini utajifunza zaidi.
Usisite kuja YouTube channel yetu iitwayo Mnyausi TV ili upate video mbalimbali za mjasiriamali.SUBSCRIBE Channel yetu(Mnyausi TV),Like,Comment na ku Share.
By
Joachim Mkwawa.


Hakuna maoni: