Hali bado ni tete ama mbaya tarafa ya Uvira;huko nchini Congo.Baada ya miili ya watu kupatikana ikiwa imetapakaa mitaani.Hali hii imekuja baada ya maji yaliyotokana na mafuriko kuanza kupungua.
Miili ya watu zaidi ya 30 imeopolewa ikiwemo ya watoto wachanga.
Wakazi wa tarafa hii ya Uvira wameiomba serikali na Rais wa Congo kuwahi kupeleka misaada ya kibinadamu kabla ya magonjwa ya milipuko kuanza kutokea.
Kutokana na jiografia na ukubwa wa nchi ya Congo pamoja na hali ya miundombinu ya eneo hilo bado Serikali haijafika Uvira kutoka Kinshasa.
Watu zaidi ya laki moja mjini Uvira hawana makazi wala Chakula.
Miili ya watu zaidi ya 30 imeopolewa ikiwemo ya watoto wachanga.
Wakazi wa tarafa hii ya Uvira wameiomba serikali na Rais wa Congo kuwahi kupeleka misaada ya kibinadamu kabla ya magonjwa ya milipuko kuanza kutokea.
Kutokana na jiografia na ukubwa wa nchi ya Congo pamoja na hali ya miundombinu ya eneo hilo bado Serikali haijafika Uvira kutoka Kinshasa.
Watu zaidi ya laki moja mjini Uvira hawana makazi wala Chakula.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni