Jumatatu, 20 Aprili 2020

MANENO YA MWISHO YA MCH.GEDTRUDE RWAKATARE

Haya ndiyo maneno yake ya mwisho marehemu Asikofu Mama Gertrude Rwakatare alipohubiri ibadani.Na hapa anazungumzia kuhusu Covid-19 sambamba na magonjwa mengine ya milipuko(Tauni) kama yalivyotabiriwa kwenye kitabu kitakatifu(Biblia).Mama Gertrude Rwakatare alikuwa Askofu wa kabisa la Mlima wa Moto la jijini Dar es Salaam.
Askofu Rwakatare amekutwa na umauti alfajiri ya leo akiwa Hospitali ya Mloganzila alipokuwa akipatiwa matibabu.Tutakukumbuka sana mama yetu hasa kwa huduma yako bila kusahau ule"UPEPO WA KISULISULI".
Mungu akulaze pahala pema,Amen.

Hakuna maoni: