Jumamosi, 18 Aprili 2020

MWANGA WA AJABU ULIVYOTOKEA NA KUSHANGAZA WATU KARIAKOO NCHINI TANZANIA

Juzi siku ya jumatano mitaa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam nchini Tanzania kulitokea hali ya ajabu na ya kushangaza ambapo kulitokea ishara za ajabu na kushangaza zilizotanda barabara kwenye anga La jiji hilo huku hali hiyo ikiwaacha watu katika mshangao wa aina yake.
Wadau na watu mbalimbali kwa imani zao walitolea ufafanuzi/utabiri juu ya halo hiyo.

Hakuna maoni: