Joachim Mkwawa & Noa Ubongo.
Hello
Team wachapakazi,wapambanaji,wachakalikaji na wazee wote wa mihanjo mjini.
Natumai site tuko poa kabisa.
Najuwa kila mmoja wetu yuko na ndoto za kumiliki biashara yake mwenyewe si ndiyo??.
Basi kama kawaida yangu Mnyausi nipo hapa kukusogezea nondo mbalimbali za kukuvusha pindi unaiendea hatima yako maishani.Hii ni Mnyausiblog na chombo kwa hewa hivi sasa ni UJASIRI NI MALI(JIAJIRI),huku mada mezani ikisomeka kama:-
JINSI YA KUANZISHA BIASHARA.
Vipo vingi vya muhimu kujifunza na kuvijuwa kabla ya kuanzisha biashara.
Yamkini waweza kuwa tayari ulikwisha wahi kujaribu kuanzisha biashara ikafa ama bado inaendelea nk;lakini leo nimekusogezea maarifa zaidi yatakayo kuongezea fahamu na kufanikiwa kibiashara.Darasa hili pia unalipata YouTube channel yetu jina Joachim Mkwawa,hakikisha una subscribe na ubonyeze kengere nyekundu ili uwe wa kwanza kupata videos mbalimbali za mafunzo tunazoziweka humor.
Mimi ni;
Joachim Leonard Mkwawa
Motivational Speaker
mnyausiblog.blogspot.com
I
Hello
Team wachapakazi,wapambanaji,wachakalikaji na wazee wote wa mihanjo mjini.
Natumai site tuko poa kabisa.
Najuwa kila mmoja wetu yuko na ndoto za kumiliki biashara yake mwenyewe si ndiyo??.
Basi kama kawaida yangu Mnyausi nipo hapa kukusogezea nondo mbalimbali za kukuvusha pindi unaiendea hatima yako maishani.Hii ni Mnyausiblog na chombo kwa hewa hivi sasa ni UJASIRI NI MALI(JIAJIRI),huku mada mezani ikisomeka kama:-
JINSI YA KUANZISHA BIASHARA.
Vipo vingi vya muhimu kujifunza na kuvijuwa kabla ya kuanzisha biashara.
Yamkini waweza kuwa tayari ulikwisha wahi kujaribu kuanzisha biashara ikafa ama bado inaendelea nk;lakini leo nimekusogezea maarifa zaidi yatakayo kuongezea fahamu na kufanikiwa kibiashara.Darasa hili pia unalipata YouTube channel yetu jina Joachim Mkwawa,hakikisha una subscribe na ubonyeze kengere nyekundu ili uwe wa kwanza kupata videos mbalimbali za mafunzo tunazoziweka humor.
Mimi ni;
Joachim Leonard Mkwawa
Motivational Speaker
mnyausiblog.blogspot.com
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni