Jumatano, 7 Juni 2017

MAGAZETINI LEO

Pata vichwa vya habari vilivyotamba karibia magazeti yote ya Leo nchini Tanzania Juni 8'2017.

Jumatano, 12 Aprili 2017

MCHANA NA KATUNI

Enjoy mchana wako na katuni bomba kabisa kutoka hapa.

Jumatatu, 10 Aprili 2017

UPENDO NI TIBA KWA NAFSI ILIYOJERUHIWA

Tumeagizwa upendo jamani ndugu wasomaji weti.
Hebu tupendane ikiwemo kuwapenda na kuwajali hata wale ambao kwa namna moja ama nyingine huonekana hawana faida nasi.
Upendo wa kweli hautakali.
Usimpende mtu machoni pa watu ili uonekane unapenda bali mpende mtu kwa vitendo tena upendo utokao uvunguni mwa moyo wako.

KUPIGWA TUNAJITAKIA.

Mara nyingi kupigwa huwa hakuji hivi hivi tu bila makosa.
Lkn huku kupigwa kwingine basi tu watu wengine huwa wanajitakia wenyewe.Unakuta mtu anajuwa fika kabisa kwamba kufanya jambo fulani ni kosa kisheria na adhabu yake hugharimu faini,kifungo na hata kupoteza uhai lkn mtu huyo hajali anaamua tu kujifanyia makusudi.

Hebu hapa kinachotokea.
Hivi mtu kama huyu akipigwa atakuwa ameonewa kweli?
Aaaaah,APIGWE TU MAANA ANAJITAKIA.

MCHANA NA KATUNI

Enjoy siku yako kwa katuni bomba kutoka hapa

RAIS MAGUFULI ATEUA KAMATI NYINGINE MCHANGA WA MADINI.

Taarifa kamili tafadhali tiririka nayo hapa chini ktk picha.

MAGAZETINI LEO

Pata wasaa mzuri wa kupitia yaliyojili ktk vichwa vya habari ktk magazeti mbalimbali nchini Tanzani leo hii 09/04/2017.

Jumapili, 9 Aprili 2017

H2i YAZIDI KUPAMBA MOTO TANZANIA.

Taasisi isiyo ya Kiserikali  ya Helping Hands International(H2i)tayari imeazidi kushika kasi ktk ueneaji wake na kuendelea kuwanufaisha watu mbalimbali nchini Tanzania.

Taasisi hiyo iliyoingia nchini mwaka mmoja sasa inalenga kusaidia jamii isiyojiweza kama vile makundi maalumu,wajasiriamali na wale wote walengao kukuza vipato vyao tayari imekwishasajiliwa na inafahamika kisheria na inalipa kodi kwa mujibu wa mamlaka za usajili wa taasisi na makampuni Brela pamoja na TRA.

Mfumo wake wa kujiunga na kuwa mmoja kati ya wanataasisi hii ni rahisi sn kiutekelezaji na uendeshwaji wake.Ni mfumo wa kujiunga kwa kiasi kidogo cha pesa na jukumu lako ni kuanza kuwashirikisha wengine kujiunga nayo na kila anayejiunga anakufanya uweze kulipwa.

Kwa taarifa na maelekezo zaidi tembelea www.helpinghandsinternational/biz.
Au tembelea ofisi zao zilizopo mikoa mbalimbali mikoani na kwa Makao makuu ya nchi mjini Dodoma tembelea ofisi zao zilizopo Hotel 56 nyuma ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na chuo cha biashara CBE mtaa wa Makole.
Au piga simu No:-+255 71359616/+255 712217107.

Jumanne, 28 Machi 2017

MCHANA NA KATUNI

Enjoy mchana wako kwa katuni kali toka kweti

MTOTO UMLEAVYO NDIVYO AKUAVYO.

Samaki mkunje angali mbichi Wahenga walisema.Na mtoto umleavyo ndvy akuavyo.Wakati mwingine wazazi hujutia mambo yanayoweza kuwakumba hasa yanapotendwa na watoto wao.Malezi mabovu hukuza mtoto mwenye akili mbovu.

Jumamosi, 25 Machi 2017

GARI INAHITAJIKA.

Mwenye gari Langelover sport toleo la 2012 or Namba D na anataka kuiuza basi kuna mtu anaihitaji fasta.
Wasiliana na muhitaji kwa Namba 0717-139333 mfanye biashara.

Ijumaa, 24 Machi 2017

MZAZI WAKO NDIYE SHUJA WAKO

Habari yako mpedwa msomaji wetu,karibu tena ktk ukurasa wetu huu adhimu unaolenga kutukumbusha kama jamii hasa vijana Duniani kote kwamba tufanye vyote vile lkn mwisho wa siku tuwakumbuke wazazi ama walezi wetu ambao walituzaa na kutulea kwa hali na mali na kutufanya tufike hapa tulipo leo.Haijalishi unayopitia,umefanikiwa ama hujafanikiwa maishani lkn ifahamike kuwa mzazi wako anabaki kuwa mzazi.Bila mama baba hayupo,na wasipokuwepo hao hata wewe usingekuwepo.Tukumbuke tulikotoka,tuwakumbuke wazazi kwani wazazi wetu ndiyo mashujaa wetuUnapomjali mzazi nawe unabarikiwa,,,,Maandiko yanatuonya kwamba tuwaheshimu wazazi wetu ili tupate kuishi miaka mingi yenye kheri Duniani.

Jumamosi, 11 Machi 2017

MCHANA NA KATUNI

Enjoy

WEMA AJIUNGA CHADEMA RASMI

Hatimaye aliyewahi kuwa Miss Tanzania 2006 mrembo Wema Isack Sepetu ajiunga na chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema mapema juzi.Mrembo huyo awali alikuwa ni mwanachama wa chama cha Mapinduzi CCM ambapo itakumbukwa ktk uchaguzi wa mwaka juzi 2015 ambapo chama cha mapinduzi ndicho kilifanikiwa kutetea dola yeye alithubutu kugombea Ubunge kule Singida ingawa hakufanikiwa kupita ktk kura za maoni. Hata hvy pamoja na hiyo bado Wema alijitoa kwa hali na mali kuhakikisha CCM inashinda uchaguzi huo ambapo alizunguka nchi nzima akihamasisha vijana kuichagua CCM hasa wanawake huku akiwa na kampeni yake iloitwa,"MAMA SEMA NA MWANAO".Hata hvy chanzo chetu kinaeleza kuwa amepata mapokezi makubwa toka kwa viongozi na waumini was chama hicho pendwa(Chadema)na ambacho ndicho chama kikubwa cha upinzani nchini Tanzani. Wema anakuwa in mmoja kati ya watu maarufu na wanasiasa baadhi wakongwe na ambao kwa kipindi kifupi wameikacha CCM akiwemo aliyewahikuwa mshauri was rais was awamu zote mbili yaani ya tatu na ya nne Mh.Kingunge Ngombale Mwilu,lkn pia mawaziri wakuu wastaafu was awamu hizo Mh.Frederick T Sumaye na Mh.Edward Ngoyai Lowassa ambaye alikuja kuwa mgombea urais kupitia chama hicho na mwamvuli wa Umoja was Katiba ya Wananchi UKAWA. Nini kimemsibu ama kumsukuma Wema Sepetu kujiunga Chadema endelea kutufuatilia.

CCM YAWATEMA WASALITI

Chama cha mapinduzi CCM kimewatema ama kuwavua uanachama,uongozi sambamba na kuwapa onyo kali baadhi ya waliokuwa wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali ndani ya chama hicho kutokana na mapungufu mbalimbali waliokumbwa nayo ikiwemo usaliti,ukiukaji na uvunjaji wa sheria na maadili ya uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama hicho tawala na kikongwe nchini Tanzania. Tiririka nayo hapa chini.

Ijumaa, 20 Januari 2017

UPENDO NI TIBA KWA NAFSI ILIYOJERUHIWA.

Habari za siku,kheri ya mwaka mpya 2017. Natumai muwazima nyote wasomaji wetu. Awali ya yote tuwatake radhi kwa kutokuwepo hewani kwa muda kutokana na maboresho tulokuwa tukiyafanya ktk blog yetu ili kuifanya iwe na muonekano mzuri,wa kuvutia na wenye kubeba uhondo bora na wa kuaminika ili kukidhi mahitaji yenu wasomaji wetu. KARIBU TUJIFUNZE. Upendo~Ni ile hali ya kuthaminiwa,kutunzwa,kulindwa,kutetewa na kutimiziwa mahitaji muhimu.Upendo hupimwa kwa mambo mengi kulingana na mahitaji ya muhitaji lkn baadhi yake ni hayo niloyataja hapo juu.Upendo ni moja kati ya viungo vya tunda la Roho.Upendo hujenga,hukuza,na kumuendeleza mtu. Palipo na upendo pana Amani,heshimaTumaini,huruma,na mafanikio.Upendo huwaleta watu karibu,hujenga mshikamano na ushindi utokanao na umoja ndani yake. Pasipo upendo pana machafuko,chuki,mateso na unyanyasaji maishani.Lkn penye upendo pana jawabu hata ktk kile kilichoshindikana.Ili pawepo upendo,..lazima hekima iwepo,utu wema,uvumilivu,utulivu wa nafsi,nk. Upendo humpa tumaini aliyekata tamaa. Upendo humpa furaha aliye na simanzi. Upendo humpa tiba aliyejeruhiwa nafsi. Upendo huleta mafanikio maishani. Upendo huleta amani idumuyo. Upendo humjengea mtu uzalendo. *2Korintho 7:1 hadi mwisho Tumeagizwa upendo,hvyo tupendane.Ucmbague mtu kwa rangi,kabila ama udhaifu wake maana hujui amebeba sehemu gani ya maisha yako. Ukipenda,nawe utapendwa.Ukitenga au kubaguwa nawr utatengwa na kubaguliwa.Ukipenda utaheshiwa,utafurahiwa na wakati mwingine utasaidiwa na kutetewa hata wakati umetenda makosa. Leo tuishie hapo.