Jumanne, 28 Machi 2017

MTOTO UMLEAVYO NDIVYO AKUAVYO.

Samaki mkunje angali mbichi Wahenga walisema.Na mtoto umleavyo ndvy akuavyo.Wakati mwingine wazazi hujutia mambo yanayoweza kuwakumba hasa yanapotendwa na watoto wao.Malezi mabovu hukuza mtoto mwenye akili mbovu.

Hakuna maoni: