Jumamosi, 11 Machi 2017

CCM YAWATEMA WASALITI

Chama cha mapinduzi CCM kimewatema ama kuwavua uanachama,uongozi sambamba na kuwapa onyo kali baadhi ya waliokuwa wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali ndani ya chama hicho kutokana na mapungufu mbalimbali waliokumbwa nayo ikiwemo usaliti,ukiukaji na uvunjaji wa sheria na maadili ya uongozi kwa mujibu wa katiba ya chama hicho tawala na kikongwe nchini Tanzania. Tiririka nayo hapa chini.

Hakuna maoni: