Jumatatu, 10 Aprili 2017

UPENDO NI TIBA KWA NAFSI ILIYOJERUHIWA

Tumeagizwa upendo jamani ndugu wasomaji weti.
Hebu tupendane ikiwemo kuwapenda na kuwajali hata wale ambao kwa namna moja ama nyingine huonekana hawana faida nasi.
Upendo wa kweli hautakali.
Usimpende mtu machoni pa watu ili uonekane unapenda bali mpende mtu kwa vitendo tena upendo utokao uvunguni mwa moyo wako.

Hakuna maoni: