Jumatano, 26 Oktoba 2016

YANGA YAIKANYA VEMA JKT RUVU LEO

Hatimaye mchezo wa soka ligi kuu bara dhidi ya Yanga na JKT Ruvu uliochezwa Leo jioni umemalizika kwa time ya maafande wa JKT Ruvu kukubali kipigo cha jumla ya magoli 4 kwa 0.
Kwa ushindi huo bado Yanga inabaki nafasi ya pili kwa pointing 24 nyuma ya vinara wa ligi hiyo Simba SC yenye jumla ya pointing 29 ktk msimamo wa ligi hiyo ya Vodacom.Hats hivyo Yanga walionekana bado wako vizuri mbali na aliyekuwa kocha wao mkuu Hans Pruijym kujihudhuru kuifindisha time hiyo hivi juzi.

Jumapili, 23 Oktoba 2016

WAZO LA LEO


YANGA YATAKATA UWANJA WA KAITABA.

Mabingwa watetezi ligi kuu soka Tanzania bara time ya soka ya Yanga Jana ilitakata baada ya kuivunja vunja vibaya time ya soka ya Kagera Sugar ya mkoani Kagera ktk mechi ya ligi kuu vodacom Tanzania Bars.
Mchezo huo mgumu uliishuhudia Yanga ikiibuka na ushindi mnono wa magoli 6 kwa  2..

Kwa ushindi huo time hiyo ya Yanga yenye maskani take katikati ya mitaa ya Twigs na Jangwani jijini Dar es Salaam inakuwa nafasi ya pili ktk msimamo wa ligi hiyo ikiwa na jumla ya poiti 21 nyuma ya vinara wa ligi hiyo Simba sports Club yenye pointing 26 huku Stand United ya mjini Shinyanga ikiwa nafasi ya 3 kwa jumla ya ponti 21 pia lkn ikizidiwa na Yang's kwa zaidi ya mgoli.

Jumamosi, 22 Oktoba 2016

MCHANA WA VIOJA

Enjoy kioja hiki.

Alhamisi, 20 Oktoba 2016

UPENDO NI TIBA KWA NAFSI ILIYOJERUHIWA.

Tuwapende wenzenu kama vile sisi nasi tunataka tupendwe.Ubaguzi wa aina yoyote ile ni dhambi,kwani hujenga chuki na uvunjifu wa Amani miongoni mwetu,bila upendo hakuna ushirikiano na pasipo ushirikiano hakuna maendeleo.
NAKUPENDA NDUGU YANGU.

KUPIGWA TUNAJITAKIA.

Kupigwa huwa hakuji hivi hivi tu na kama ikitokea umepigwa bila sababu tunasema UMEONEWA lkn vinginevyo no makosa uloyafanya kwa makusudi huku unajuwa kuwa kwa kufanya hvy no makosa kisheria.

Jumapili, 2 Oktoba 2016

GOLI LA TAMBWE LAIGHARIMU SIMBA.

Ktk mechi ya ligi kuu soka Tanzania bara kati ya Simba na Yanga ambayo ilichezwa jana na kushuhudia timu hizo hasimu zikitoka sare ya goli moja kwa moja huku goli la Amis Tambwe wa Yanga likisababisha mashabiki wa timu ya Simba waking'oa viti.Inasemekana kuwa zaidi ya viti 200 vilivunjwa na vingine kuharibiwa vibaya.
Kwa hali hiyo kuna hati hati ya Simba kupigwa faini,kuporwa pointi au hata kuamuriwa vyovyote vile itakavyoonekana inafaa lkn pia siyo dalili nzuri kwa ukuaji wa soka letu.

Jumamosi, 1 Oktoba 2016

KUPIGWA TUNAJITAKIA.

Ni pale ambapo MTU hufanya makosa ktk jambo Fulani.Hata ukikosea kuoa au kuolewa kupugwa.We unajijuwa kabisa kwamba huna nguvu halafu unaoa mwanamke mbabe unategemea nini.
MPIGWE TU,MAANA MNAJITAKIA.

SIMBA YACHOMOA KWA YANGA

Hatimaye pambano la soka kati ya Simba na Yanga jana lilimalizika kwa sare  ya bao moja kwa moja baada ya Simba kulazimisha mchezo uishe hivyo baada ya mchezaji wao Kichuya kusawazisha kupitia kona iliyotymbukia kimiani moja kwa moja.Yanga ndiyo walikuwa wa kwanza kuliona lango la wekundu hao wa Msimbazi kupitia kwa mchezaji wa kigeni Amisi Tambwe.
Hata hivyo mchezo huo uliingiwa na vurugu kwa mashabiki wa Simba kung'oa viti kwa kile kilichodaiwa ni hasira kutokana na goli la mkono lililofungwa na Tambwe wa Yanga na mwamuzi kuamuru mpira upigwe kati yaani ni goli.
Kwa sare hiyo bado inaifanya Simba iendelee kukaa kileleni mwa ligi ikiwa na pointing zake 17 ikiwa imekwisha cheza mechi 7 huku Yanga ikiwa nafasi ya pili kwa pointing 11 kibindoni huku ikiwa na mechi 6 ilizokwisha kucheza na kipolo cha mechi moja.

MCHANA NA KATUNI

Enjoy katuni zetu za Leo tukiangazia watani wa jadi ktk mechi yao ya Jana ligi kuu Vodacom Tanzania bara.
Shuhudia tambo zao hapa.