Jumatano, 26 Oktoba 2016

YANGA YAIKANYA VEMA JKT RUVU LEO

Hatimaye mchezo wa soka ligi kuu bara dhidi ya Yanga na JKT Ruvu uliochezwa Leo jioni umemalizika kwa time ya maafande wa JKT Ruvu kukubali kipigo cha jumla ya magoli 4 kwa 0.
Kwa ushindi huo bado Yanga inabaki nafasi ya pili kwa pointing 24 nyuma ya vinara wa ligi hiyo Simba SC yenye jumla ya pointing 29 ktk msimamo wa ligi hiyo ya Vodacom.Hats hivyo Yanga walionekana bado wako vizuri mbali na aliyekuwa kocha wao mkuu Hans Pruijym kujihudhuru kuifindisha time hiyo hivi juzi.

Hakuna maoni: