Ktk mechi ya ligi kuu soka Tanzania bara kati ya Simba na Yanga ambayo ilichezwa jana na kushuhudia timu hizo hasimu zikitoka sare ya goli moja kwa moja huku goli la Amis Tambwe wa Yanga likisababisha mashabiki wa timu ya Simba waking'oa viti.Inasemekana kuwa zaidi ya viti 200 vilivunjwa na vingine kuharibiwa vibaya.
Kwa hali hiyo kuna hati hati ya Simba kupigwa faini,kuporwa pointi au hata kuamuriwa vyovyote vile itakavyoonekana inafaa lkn pia siyo dalili nzuri kwa ukuaji wa soka letu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni