Jumatatu, 31 Desemba 2018

HERI YA MWAKA MPYA 2019.

Uongozi pamoja na wote wanaohusika kwa namna moja au nyingine katika kuhakikisha blog hii inakufikia na kukuhabari,kukuelimisha na kukubirudisha tunakutakia heri ya Mwaka mpya 2019.

Tunatanguliza shukurani zetu za dhati kwenu wote wasomaji na wafuatiliaji wa blog hii.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliyojitokeza kutokana kulikuwa na nyakati ambapo blog hii hakuweza kurusha matangazo yake,lkn bado mliendelea kutuamini na hivyo mkatuvumilia.

Mwaka 2018 tunashukuru umepita salama ingawa kwetu ilikuwa na changamoto nyingi sana ingawa tumezishinda na ndiyo maana leo tuko hapa tena tukiwashukuru.

Mwaka 2019 ni mwaka wa Mageuzi makubwa kwetu kitaaluma,kiufundi na kiteknolojia na hivyo tumejiandaa sana kuwahudumia.
Palipo na mapungufu sisi km binadu tunaomba mtusamehe.
Heri ya Mwaka mpya 2019.

Hakuna maoni: