Jumatatu, 31 Desemba 2018

KUPIGWA TUNAJITAKIA

Ni kweli kabisa.
Kupigwa huwa hakuji tu hivi bila sababu ingawa kujichukulia nako sheria mkononi na kumuadhibu mtu kisa amekukwaza ama vyovyote vile huwa ni kosa kisheria.

Lakini hapa binafsi najikita katika ile hali mkosaji kuamua kutenda kosa ilihali anajuwa fika kwamba kutenda jambo hilo ama lile kwa makusudi ni makosa

Je,kwa makosa haya kweli unadhani huyu mtu akiadhibiwa ni makosa?
Huyu a

Hakuna maoni: